Wezi kula nyasi Westkenya eneobunge la Malava Kaunti ya Kakamega
Wenyeji wa kijiji cha Westkenya eneo bunge la Malava kaunti ya Kakamega wamejionea kioja baada ya watu wawili ambao ni wahudumu wa baa moja eneo hilo kugeuka kuwa wazimu kufuatia madai ya kushiriki wizi eneo hilo. Wawili hao ambao ni mwanamme mwenye umri wa miaka 36 na mwenzake wa kike wa miaka 27 wakiwa wafanyikazi …
Wezi kula nyasi Westkenya eneobunge la Malava Kaunti ya Kakamega Read More »