Wito kwa viongozi wa kanisa la Church of God misheni ya Bumamu
Wito umetolewa kwa viongozi wageni wa kanisa la Church of God misheni ya Bumamu kuhakikisha wanaliunganisha kanisa hilo ili kuliendeleza mbele Wakizungumza baada ya hafla ya kuwachagua viongozi wapya 5 wa kanisa hilo kiwango cha misheni iliyofanyika katika kanisa la Mushieywe lililoko wadi ya Marama Kaskazini eneo bunge la Butere waumini na baadhi ya wahubiri …
Wito kwa viongozi wa kanisa la Church of God misheni ya Bumamu Read More »