Lubao FM | 102.2 Hz

Month: June 2021

Utata wa vyeo kwa waalimu kaunti ya Bungoma

Ni sharti tume ya kuajiri waalimu inchni  kuharakisha kuwapandisha vyeo waalimu walio hitimu kufanyiwa hivyo. Akizungumza katika eneo bunge la Bumula kaunti ya Bungoma, mwenyekiti wa chama cha kutetea masilahi ya  walimu wa shule za msingi Bungoma Mashariki Agrey Namis,i amesema kuwa tume ya kuajiri waalimu huchukua muda mrefu kupandisha walimu walio hitimu katika viwango …

Utata wa vyeo kwa waalimu kaunti ya Bungoma Read More »

Aslimia ya upandaji wa miti katika msitu wa vilima vya Maragoli kuongezeka

Serikali ya kaunti ya Vihiga imetumia takriban shilingi milioni 150 kwa kipinda cha miaka mitatu ambacho kimekamilika kwa juhudi za kuimaririsha na kuulinda msitu uliyoko kwa vilima vya Maragoli katika eneo bunge la Vihiga  Akizungumza muda mfupi tu baada ya kuzuru msitu huo, gavana wa kaunti ya Vihiga Wilber Ottichilo amesema kuwa serikali yake imeweka …

Aslimia ya upandaji wa miti katika msitu wa vilima vya Maragoli kuongezeka Read More »

Mahakama kaunti ya Busia kuzindua mbinu mpya ya kidijitali ya kusikiza kesi

Kama moja wapo wa njia za kuzuia msambao wa corona mahakama ya Busia imeanzisha mpango wa kuendesha shughuli za kusikiza kesi kupitia njia ya mtandao Akiongea na waandishi wa habari mjini Busia hakimu mkuu wa mahakama ya Busia Lucy Ambasi amesema kuwa wameunganisha gereza la Busia pamoja na vituo vinane vya polisi kaunti hiyo kwa …

Mahakama kaunti ya Busia kuzindua mbinu mpya ya kidijitali ya kusikiza kesi Read More »

Baraza la mitihani kusutiwa vikali kwa kuchelewesha malipo ya walimu walio sahisha mitihani ya kitaifa

Katibu mkuu wa chama cha kutetea maslahi ya walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET tawi la Busia Moffat Okisai amelisuta vikali baraza la mitihani nchini KNEC kwa kuchelewesha malipo ya walimu ambao walisahihisha mitihani ya kitaifa ya mwaka jana huku baadhi ya walimu hao wakiendelea kukabiliwa na wakati mgumu. Okisai ameelezea …

Baraza la mitihani kusutiwa vikali kwa kuchelewesha malipo ya walimu walio sahisha mitihani ya kitaifa Read More »

Mauwaji eneo bunge la Lugari katika eneo la Lumakanda

Maafisa wa polisi wa kituo cha Lumakanda eneo bunge la  Lugari kaunti ya Kakamega  wanamzuilia mwanamume mmoja kwa tuhuma za kumdunga kisu na kumuua rafikiye baada ya kumshuku kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkewe katika kijiji cha Lukhuna kata ndogo ya mbagara… Akithibitisha kisa hiki Kamanda wa polisi katika eneo bunge la Lugari Bernard …

Mauwaji eneo bunge la Lugari katika eneo la Lumakanda Read More »

Wizi wa pikipiki kaunti ya Bungoma

Wahudumu wa bodaboda kaunti ya Bungoma wamefanya maandamano Kulalamikia usalama wao Baada ya mauwaji ya kiholela kushudiwa mara kwa mara mauji ya hivi punde kijana mmoja kuuliwa  na kutupwa sehemu ya Sikata eneo bunge la Kanduyi Kisha wezi hao wakatoroka na pikipiki. Ni visa ambavyo vimechangia wahudumu wa bodaboda kufanya maandamano Kulalamikia usalama wao wakiwa …

Wizi wa pikipiki kaunti ya Bungoma Read More »

Wakulima wa pamba kujiandikisha eneo la Sirisia

Wakulima wa zao la pamba kutoka eneobunge la Sirisia wamehimizwa kujiandikisha katika afisi husika ili kupokea mbaegu itakayosaidia kuzidisha mapato kwenye kilimo hicho. Akizungumza baada ya kuongoza zoezi la kuwapiga msasa wawaniaji viti mbalimbali katika chama cha ushirika cha Namang’ofulo eneobunge la Sirisia, mkurugenzi wa vyama vya ushirika eneo hilo Pius Mbai amedokeza kuwa hivi …

Wakulima wa pamba kujiandikisha eneo la Sirisia Read More »

Ukulima wa samaki kaunti ya Kakamega

Muungano wa wakulima wa samaki Walukak Fish Farming umekutana leo katika kaunti ya Kakamega kata ndodo ya Malava kata ya Kabras Kusini eneo la Shianda kijiji cha Muluanda ambapo lipo  bwawa wanalolitumia kufuga samaki wao. Akizungumza kwenye mkutano huo Tom Oremo ambaye ni mwenyekiti wa chama hicho alisema walikuwa wamekusanyika hapo ili kuchukua sampuli ya …

Ukulima wa samaki kaunti ya Kakamega Read More »

Hadhari za curfew kaunti ya Busia

Huku serikali ikiwekea vikwazo vipya  vya kupunguza  mkurupuko wa corona nchini kwa takribani kaunti  13 kote  nchini, sasa imeshauriwa kufikiria upya katika swala hilo Kulingana na mwanasaikologia  Phillis Kibiriti katika kaunti ya  Busia  masharti hayo mapya hayalemazi tu ukanda huu wa magharibi kiuchumi bali ina madhara makubwa kwa saikologia haswaa ya  wanainchi waliolemewa na mzigo wa …

Hadhari za curfew kaunti ya Busia Read More »

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE