Lubao FM | 102.2 Hz

Lubao Digital

Mashirika ya kijamii kukashifu hatua ya Bunge kukosa kuidhinisha sheria ya kudhibiti fedha za kampeni

Hatua ya bunge kukosa kuidhinisha sheria ya kudhibiti fedha zitakazotumika kwenye kampeni ni njia mojawapo ya kupalilia uovu huo Kwenye taarifa ya pamoja mashirika mbalimbali ya kijamii yakiwemo Elog, Mzalendo na Center for Multiparty Democracy yamekashifu hulka hiyo ya wabunge yakiitaja kama inayoruhusu wizi wa pesa mkenya mlipaushuru Mashirika hayo yamesema kuwa wabunge hawana nia …

Mashirika ya kijamii kukashifu hatua ya Bunge kukosa kuidhinisha sheria ya kudhibiti fedha za kampeni Read More »

Kampeni dhidi ya ya mimba za mapema kuendelezwa katika mji wa Kakamega

Kampeni dhidi ya mimba za mapema miongoni mwa watoto wa kike ziliendelezwa kwenye mitaa ya mji wa kakamega kaunti ya kakamega huku onyo kali ikitolewa kwa wahusika  Maafisa wa polisi wanasheria pamoja na wadahu kutoka mashirika mbalimbali ya kijamii wamehimiza wazazi kumakinika na malezi ya watoto wao kama njia mojawapo ya kukabili visa hivyo Aidha …

Kampeni dhidi ya ya mimba za mapema kuendelezwa katika mji wa Kakamega Read More »

Serikali kuezeka pakubwa katika secta ya Michezo

Mbunge katika bunge la kaunti ya Vihiga Beatrice Adagala ameitaka serikali kuekeza pakubwa kwenye michezo kama njia mojawapo ya kukuza vipaji miongoni mwa vijana Adagala amesema kuwa hili litawawezesha vijana kujihusisha na spoti hivyo kutumia vema muda wao Mwakilishi huyo wa kina mama kaunti ya Vihiga amesikitikia makaribisho hafifu yalofanyiwa wanaspoti walowakilisha kwenye michezo ya …

Serikali kuezeka pakubwa katika secta ya Michezo Read More »

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE