Lubao FM | 102.2 Hz

News and Stories

Chama cha UDA chaweka wagombea wake mbalimbali

Chama cha UDA kimeweka  wagombea wake mbalimbali ambao watagombea vyeo mbalimbali kupitia tiketi ya chama hicho. Katika eneo bunge la Kabuchai, Evans Kaikai ameteuliwa kuipeperushia bendera ya Chama hicho. Katika kata ya Huruma, Kelele Nelson ndiye mgombea na huku Bernard Muia kiala akigombea kama seneta wa kaunti ya Machakos. Katika kikao kilichofanyika hii leo kikiongozwa …

Chama cha UDA chaweka wagombea wake mbalimbali Read More »

Msichana wa umri mdogo kapachikwa mimba na kaasisi kaunti ya Siaya.

msichana wa umri mdogo aliyekuwa chini ya utunzi wa kaasisi mmoja wa Kanisa la Legio Maria, sasa familia yake inataka kaasisi huyo kukamatwa kwa maadai ya kampachika mimba katika kijiji cha komenya kaunti ya Siaya. William Wasonga mwenye umri wa miaka 74, na Mwalimu wa dini katika Kanisa la Legio Maria la St Marys Nyahombe …

Msichana wa umri mdogo kapachikwa mimba na kaasisi kaunti ya Siaya. Read More »

UMOJA WA ULAYA YAAGIZA DOZI MILLIONI TATU ZAIDI YA CHANJO ALMAARUFU BioNTechPfizer.

Muungano wa umoja wa ulaya umefikia maafikiano kuagiza dozi zaidi ya chanjo hii ili kuongeza maradufu kiasi cha chanjo wanayomiliki. Mwenyekiti wa tume ya ulaya Ursula Von der leyen ijumaa ameelezea kuwa wamenunua dozi milioni tatu zaidi ya dozi zingine milioni tatu walizokua nazo tayari. Chanjo hii inayozinduliwa na muungano baina ya marekani na ujerumani …

UMOJA WA ULAYA YAAGIZA DOZI MILLIONI TATU ZAIDI YA CHANJO ALMAARUFU BioNTechPfizer. Read More »

Citizens identified at the US capital riot lose their jobs

Regarding the Wednesday riot by Trumps supporters which left some dead while others injured it has also now rendered some jobless. The riot images, videos and posts on social media circulated worldwide. Some who were identified by their employees therefore ended up being sacked or leaving their jobs. One person for example was seen and …

Citizens identified at the US capital riot lose their jobs Read More »

Serikali kushirikiana na viongozi wa mashinani

Mwakilishi wadi ya Mumias Mashariki eneo bunge la Mumias Mashariki Shaban Otengo ameitaka serikali kushirikiana na viongozi kuwakwamua wananchi mashinani mzigo wa hali ngumu ya uchumi  Akiongea alipowakabidhi msaada wa chakula na fedha za karo akina mama wajane na wananchi wenye changamoto ya kifedha kutoka wadi yake otengo amesema inasikikitisha vile wakenya wengi wamelemewa na …

Serikali kushirikiana na viongozi wa mashinani Read More »

Kaunti ya Vihiga kutoa fomu za kufadhili masomo

Gavana Ottichilo aidha ameelezea kwamba fomu za kufadhili masomo kwenye shule na vyuo mbalimbali maarufu kama bursary  zipo tayari  na kuwataka wanaohitaji fedha hizo kuzichukua fomu kwenye ofisi za wodi.   Hata hivyo Ottichilo ameelezea hatua ambazo serikali yake imepiga kwenye idara ya chekechea ikiwemo ujenzi wa madarasa 175 ya chekechea na mengine 30 yatakayojengwa kwenye …

Kaunti ya Vihiga kutoa fomu za kufadhili masomo Read More »

Uhaba wa miundo msingi shuleni

Huku wanafunzi wakiendelea kuripoti shuleni baada ya kusalia nyumbani kwa muda mrefu kufwatia kuzuka maambukizi ya virusi vya corona, swala la uhaba wa miundo msingi shuleni limetajwa kama changamoto kuu na lapaswa kushughulikiwa upesi. Akizungumza afisi mwake mwalimu mkuu wa shule ya upili ya wavulana ya teremi eneobunge la kabuchai benard wamanga amesema licha ya …

Uhaba wa miundo msingi shuleni Read More »

Wito kwa serikali ya kaunti ya bungoma kutafuta soko la kahawa

Wito umetolewa kwa serikali ya kaunti ya bungoma kuingilia kati na kuwatafutia soko wakulima wa kahawa kama njia mojwepo itakayowawezesha kupokea malipo bora yatakayofanikisha miradi yao mbalimbali. Mwenyekiti wa chama cha ushirika cha kapkrong wadi ya chesikaki eneobunge la mlima elgon stephen ndiwa  akizungumza wakati wa kuongoza hafla ya kutoa malipo kwa wakulima wa chama …

Wito kwa serikali ya kaunti ya bungoma kutafuta soko la kahawa Read More »

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE