Lubao FM | 102.2 Hz

News and Stories

Mauti eneo la Luyeshe kufuatia ajali

Mtu mmoja amefariki papo hapo huku mwingine akijeruhiwa vibaya na kukimbizwa katika hospitali ya malava baada ya baiskeli Waliokuwa wameabiri kugongwa na matatu katika eneo la Luyeshe kwenye barabara kuu ya Kakamega–webuye siku ya jumapili jioni.Inadaiwa kuwa matatu hiyo iliyokuwa ikiendeshwa Kwa Kasi ikielekea Kakamega iliwagonga wawili hao Kwa nyuma kabla ya kutoweka.Hata hivyo wenyeji …

Mauti eneo la Luyeshe kufuatia ajali Read More »

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE