Mbunge wa Navakholo ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya kilimo Bungeni Emmanuel Wangwe amemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuona kuwa ripoti iliyotolewa na Japo la sukari inaanza kufanya kazi. Akiwahutubia wenyeji wa Navakholo Wangwe amedokeza…
Read MoreMwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu katika shule ya upili ya wavulana ya Burangasi katika eneo bunge la Navakholo kaunti ya Kakamenga anazuiliwa katika kituo cha polisi eneo hilo kwa madai ya kuteketeza bweni la…
Read MoreWashukiwa wanne wa wizi wa kimabavu wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Kabras baada ya kukamatwa na maafisa wa polisi wakiwa na vifaa vingi vya elektroniki vinavyodaiwa kupotea sehemu nyingi za eneo la Malava. Akizungumza…
Read MoreKizahazaha kimeshuhudiwa katika soko la Malava lililoko eneo bunge hilo Kaunti ya Kakamega baada ya msichana mwenye umri wa miaka 19 kwa majina Anjelina Alima kupatikana akitaka kumgawa mwanawe mchanga mwenye umri wa miezi 4.…
Read MoreSerikali ya kaunti ya Kakamega imetakiwa kutoa idadi kamili ya walemavu ambao wamedhulumiwa kijinzia ili wadau wanaoshugulikia haki za walemavu nchini wachukuwe hatua ya kuhakikisha kuwa visa hivyo vinapungua. Ni kauli iliyotolewa na mwenyekiti wa…
Read MoreAliyekuwa mbunge wa Teso Kusini Mary Emase amewataka magavana nchini kufanya mazungumzo na madaktari na wahudumu wa afya wanaogoma ili warejee kazini. Akihutubu kwenye hafla moja katika eneo la Segero kaunti ndogo ya Teso Kusini…
Read MoreIdadi kubwa ya wanafunzi hasa wavulana bado hawajarejea shuleni licha ya shule kufunguliwa rasmi zaidi ya wiki mbili zilizopita. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa kamati ya wazazi katika shule ya upili ya Wabukhonyi katika eneo…
Read MoreWanaume wameshauriwa kutumia makundi ya wanaume makanisani kuendeleza umoja wa taifa na kukabili uhasama wa kisiasa ambao unashuhudiwa kwa sasa nchini Ni wito wake padri Antony Tsikalata anayesimamia kikundi cha wanaume wakatoliki jimbo la kakamega…
Read MoreShughuli za uchukuzi zimetatizika kwa muda kwenye barabara ya Muyayi kuelekea Ndengelwa katika wadi ya Bukembe Magharibi kaunti ya Bungoma baada ya wahudumu wa bodaboda wakishirikiana na wakazi kuandaa maandamano na hata kupanda migomba ya…
Read MoreViongozi wa chama cha kutetea maslahi ya walimu nchini KNUT tawi la Busia wameelezea matumaini ya kuimarisha chama hicho kwa kufanya majadiliano na Tume ya huduma za walimu TSC baada ya kukamilisha uchaguzi unaotarajiwa kufanyika…
Read More