Wafanya biashara wa soko la shinyalu lililo katika wadi ya isukha ya kati eneo bunge la shinyalu kaunti ya kakamega , wameshiriki kwenye uchaguzi wa viongozi wa soko hilo ijuma ya leo Uchaguzi huo umefanyika…
Read MoreMadereva wa lori kutoka mjini Eldoret wanakadiria hasara baada ya kuhaingaishwa na maafisa wa polisi wa KENHA licha ya kutimiza masharti ya uchukuzi. Akizungumza na wanahabari Joel Mugo akiwa miongoni mwa madereva ambao wanalalamika amesema…
Read Moremsichana wa umri mdogo aliyekuwa chini ya utunzi wa kaasisi mmoja wa Kanisa la Legio Maria, sasa familia yake inataka kaasisi huyo kukamatwa kwa maadai ya kampachika mimba katika kijiji cha komenya kaunti ya Siaya.…
Read MoreKatika kaunti ya Kirinyagah mwanaume ambaye aliwabaka bintize atajua hatima yake ijayo baada ya hakimu mkuu wa Baricho hakimu Anthony Mwicigi kuagiza ofisi ya urekebishaji tabia kuchunguza kisa hicho kwa kina. Mmoja wa bintize ana…
Read MoreMwakilishi wadi ya Mumias Mashariki eneo bunge la Mumias Mashariki Shaban Otengo ameitaka serikali kushirikiana na viongozi kuwakwamua wananchi mashinani mzigo wa hali ngumu ya uchumi Akiongea alipowakabidhi msaada wa chakula na fedha za karo…
Read MoreGavana Ottichilo aidha ameelezea kwamba fomu za kufadhili masomo kwenye shule na vyuo mbalimbali maarufu kama bursary zipo tayari na kuwataka wanaohitaji fedha hizo kuzichukua fomu kwenye ofisi za wodi. Hata hivyo Ottichilo ameelezea hatua…
Read MoreWito umetolewa kwa serikali ya kaunti ya bungoma kuingilia kati na kuwatafutia soko wakulima wa kahawa kama njia mojwepo itakayowawezesha kupokea malipo bora yatakayofanikisha miradi yao mbalimbali. Mwenyekiti wa chama cha ushirika cha kapkrong wadi…
Read MoreFamilia moja kutoka mtaa wa mlimani eneo bunge la likuyani kaunti ya kakamega imejitokeza wazi na kuomba msaada wa kugharamia matibabu ya mwanao ambaye kwa hivi sasa bado amelazwa katika hospitali ya cherengany nursing home…
Read MoreWatoto wa kurandaranda mitaani mjini kakamega sasa wanataka mashirika yasiyo ya kiserikali ambayo yamekuwa yakituma maombi ya misaada katika mataifa ya ughaibuni kwa niaba yao, kuchunguzwa kwa madai ya ufisadi na kuchukuliwa hatua kali za…
Read MoreMwendeshaji mmoja wa bodaboda kaunti ya meru anatafutwa na idara ya upelelezi wa jinai DCI kwa minajili ya kumbaka mschana wa umri ya miaka minane jana. Idara hiyo ya upelelezi inasema kuwa katika bunge la…
Read More