Familia ya Haila Asanaki kijana aliyefariki baada ya kupigwa risasi kimakosa na polisi alhamisi jioni mtaani Kiamaiko jijini Nairobi inalilia haki baada ya kifo cha mpedwa wao

Familia hiyo inahofia kunyimwa haki baada ya kesi kadhaa sawia na hizo kuisha tu bila haki kutendeka 

Kijana huyo alidaiwa  kupigwa risasi akiwa kwenye gorofa ya tatu alipokuwa akishuhudia mvutano kati ya polisi na watu kadhaa kwenye gari ambalo polisi walikuwa wakifanya msako

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE