Mjadala kuhusu uhalali wa tume ya IEBC kuendeshea uchaguzi mkuu ujao unazidi kuzua tofauti miongoni mwa walokuwa wanachama wa muungano wa NASA

Seneta wa Kakamega Cleophas Malala ametofautiana na vigogo wa ODM wanaoshinikiza mageuzi kwenye tume hiyo 

Wabunge wa chama cha ODM wakiongozwa na Opiyo Wandayi na Gladyas Wanga wa wanasisitiza kuwa Chebukati lazima ang’atuke na uongozi wa tume hiyo kufanyiwa marekebisho na kwani hawana imani na tume hiyo

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE