Wataalamu wa maswala ya kisheria na kikatiba wanatilia shaka msukumo wa rais kwenye swala zima la katiba

Mwanasheria  kutoka kaunti ndogo ya Navakholo wakili Edwin Wafula  amesema kuwa huwenda rais ana nia fiche kwenye mchakato mzima wa BBI

Wafula aidha amepinga uwezo wa kamati ya BBI kuunda maeneo zaidi ya bunge nchini

Wakili huyo kwenye mahakama kuu ya Kakamega amepuuzilia mbali uwezekano wa kura ya maoni kutekeleza kabla ya uchaguzi mkuu 

Vilevile ameonya kuwa taifa hili huwenda likatumbukia kwenye mgogoro wa kikatiba iwapo rais atazidi kupuuza maagizo ya mahakama

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE