Waliokuwa madiwani sasa wana la kutabasamu huku wizara ya fedha ikiwa katika haua za mwisho kuidhinisha malipo yao ya uzeeni  ya takriban shilingi bilioni 18 

Waziri wa ugatuzi Eugene Wamalwa amesema kuwa wizara hiyo kwa ushirikiano na ile ya leba zimeafikiana kuwalipa madiwani hao wa zamani baada ya bunge la seneti kupitisha mswada huo

Vyeo hivyo vya madiwani viliondolewa kupitia kwa katiba ya mwaka wa 2010 na pahali pake kuchukiliwa na wawakilishi wadi

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE