Wakaazi wa kijiji cha Mwikhupo wadi ya Sang’alo Mashariki eneobunge la Kanduyi kaunti ya Bungoma wanalalamikia miundomsingi duni katika eneo hilo

Wakaazi hao wanadai kukosa daraja ikiwabidi kusafiri mwendo mrefu wakitafuta maji katika kaunti kakamega

Wakati mwingine inawabidi kutumia mashua ambayo wanahofia usalama wao wanapovuka kuelekea ngambobya pili kutafuta maji

Sasa wanawataka vyongozi eneo hilo kuwajibikia na kuwajengea daraja ili kuwaepusha na dhiki inayowakumba

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE