Kufwatia ongezeko la visa vya kujitoa uhai eneobunge la Mumias Mashariki vyongozi eneo hilo sasa wanawataka wakaazi kutafuta mbinu mwafaka za kusuluhisha mizozo
Akizungumza kwenye hafla moja ya mazishi mtaa wa Makunga B eneobunge la Mumias Mashariki ambapo mwendazake aliripotiwa kujitoa uhai mwanasiasa Peter Salasya amesema kuwa wingi wa visa hivyo hutokana na msongo wa mawazo
Amewataka wakaazi kutafuta usaidizi badala ya kuchukua hatua ambazo huwenda zikawagharimu maisha yao
Vile vile alielezakua kuwa iwapo atafaulu kuingia katika afisi za CDF eneobunge la Mumias Mashariki baada ya uchaguzi mkuu atabuni vitengo vya kukabili na kutatua tatizo hilo
Salasya hata hivyo amewaonya wakaazi dhidi ya kufuja chakula haswa wakti huu wa mavuno
By James Nadwa