Kudorora kwa kiwanda cha sukari cha Mumias kumekuwa chanzo cha masahibu yanayowakumba vijana eneo hili
Mfanyibiashara kutoka kaunti ya Vihiga Billy Nyonje ameitaka serikali kuharakisha juhudi za kukifufua kiwanda hicho
Nyonje amewataka vijana kujihusisha na miradi ya maendeleo na kukoma kuwategemea viongozi wa kisiasa
Kauli iyoungwa mkono na naibu gavana wa Vihiga Patrick Saisi aliyewataka kutokubali kutumiwa na wanasiasa kuzua vurugu kwenye mikutano ya kisiasa
By James Nadwa