Viongozi wa makanisa mjini Kakamega wanamtaka rais Uhuru Kenyatta kuachia mahakama Uhuru wa kutekeleza kazi yake bila kushurutishwa

Wakiongozwa na Apostle Charles Omuroka wa Logos Celebration International Ministries Amalemba wanamtaka rais kuzingatia ushauri wa kidini kuongoza taifa

Amesema usemi wa rais wakati wa sherehe za Madaraka mjini Kisumu uliashiria vitisho kwa mahakama

Wakati uo huo Omuroka amemtaka jaji mkuu Martha Koome kusimama kidete na kuwatetea wakenya kwa mujibu wa katiba

By Linda Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE