Walokuwa walinzi pamoja na vibarwa sokoni Harambe eneobunge la Matungu wanalilia haki kutokana na kile walichokitaja kama kulagaiwa na mwaajiri wao

Wakiongozwa  Joseph Baraza vibarwa hao  waamemlaumu mwanasiasa fulani kutoka Kaunti jirani kuwafanyisha kazi pasi na malipo

Licha ya kufika kwenye afisi za Leba kaunti ya KAKAMEGA na hata kutembelea MASHIRIKA mbalimbali ya kiserikali kutafuta haki wanadai kuwa juhudi zao bado hazijazaa matunda

Wafanyikazi hao wanalalamikia ugumu WA maisha ikiwemo kushindwa kuwalipia karo WATOTO wao na kusambaratika kwa ndoa zao

Juhudi zetu za kumfikia mwanasiasa HUYO zikigonga mwamba BAADA ya kukosa kushika simu zetu

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE