Mshauri wa gavana wa Kakamega kuhusu maswala ya uongozi Musa Chibole amekanusha madai ya kuwepo kwa mapendeleo katika utoaji wa tenda kwenye kaunti hiyo

Kwenye mahojiano ya kipekee na idhaa hii Chibole amesema kuwa shuguli hiyo hufanywa kwa uwazi akiwataka walio na malalamishi kuwasilisha kwenye kamati simamizi 

Amesema kuwa hatua zote hufwatwa kikamilifu

Amewataka wakaazi kushiriki kwenye vikao vya kutoa maoni kuhusu namana wangetaka kuhudumiwa na uongozi wa kaunti hiyo

Vilevile ametoa changamoto kwa wakaazi kuwapiga msasa vyongozi kabla ya kuwachagua 

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE