Kiongozi wa wachungaji kaunti ya Kakamega askofu Patrick Shinali amewataka wanasiasa kuhubiri amani joto la kisiasa linaposhuhudiwa nchi

Akirejelea mzozo kati ya rais na naibu wake Shinali amewataka wanasiasa kuwa msitari wa mbele kwa kuwaleta wawili hao pamoja

Shinali aidha mewataka vyongozi wa kidini kuto salia nyuma katika juhudi za kutafuta uwiano kati ya wawili hao

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE