Huku siku chache zikisalia watainiwa wa darasa la nane na kidato cha nne kukalia mtihani wa kitaifa mkurugenzi wa elimu kaunti ndogo ya Malava Isaac Kiprais  amewahakikishia watahiniwa  usalama wakati watakapokuwa wakiendelea na mtihani huo

Akizungumza na waandishi wa habari nje ya jengo la kanisa la marafiki mjini Malava Kiprais amewarai  watainiwa hao kuwasili shuleni lisali moja kabla mtihani haujang’oa nanga.

Aidha mkurugenzi huyo amehoji kuwa wameweka mikakati kabambe ya kuzuia udanganyifu miongoni mwa wanafunzi 

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE