Afisa wa zamani wa maswala ya jinsia na watoto kaunti ya Kakamega Peninah Mukabane amehusisha visa vya baadhi ya wanafunzi kuukalia mtiani wao wakiwa hospitalini na mchecheto au exam fever

Kwenye kikao na wanahabari nyumbani kwake mtaa wa Emusala hapo jana Mukabane aidha amehusisha hali hiyo na baadhi ya ghasia za hivi punde ambazo zimeshuhidiwa kwenye baadhi ya shule humu nchini

Watoto walikaa nyumbai kwa mda mrefu hawakuwa na waalimu kwa karibu. Wako Na panic Na exam fever Na sasa wale ambao wako hospitali wamejifungua, naomba waalimu kuwaelewa na kuwaelekeza viluvyo

Haya yanajiri huku watahiniwa zaidi ya milioni moja wa shule za msingi wakitamatisha mtiani wao hapo Jana kupisha wenzao wa sekondari kuanza wao leo hii

Kwingineko watahiniwa wapatao 115 wa shule ya msingi ya Eshiakhulo wilayani Mumias Mashariki wamewashukuru wenzao wa zamani almaarufu alumni kwa msaada wa chakula pamoja na vifaa vingine vilivyowawezesha kuukamilisha mtiani wao

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE