Wengi wa wazazi eneobunge la Mumias Mashariki hawana ufahamu wa kutosha kuhusu mtaala mpya wa elimu wa CBC
Baadhi ya wale tulozungumza nao wanadai kukanganywa na mfumo huo
Wazazi hao aidha wanashangaa kutokana na idadi ya juu ya mahitaji ya mfumo huo ikiwemo wingi wa vitabu pamoja na vifaa vingine vya masomo
Naye mojawapo wa wasomi kutoka kaunti ya Bungoma ameusifia mtaala huo akidai kiwa ndiyo unaofaa kwa sasa
By James Nadwa