Waziri wa biashara katika serikali ya kaunti ya Kakamega Robert Makhanu amewataka akina mama kutumia nafasi ya fedha za serikali kujiendeleza kiuchumi

 Akiwahutubia wanachama wa makundi ya akina mama eneo la Butere, Makhanu amesema serikali ya kaunti imetenga raslimali nyingi za kuwasaidia wananchi hasa akina mama na amewataka kushirikiana na maafisa wa serikali nyanjani kupata miradi hiyo


 Ni kako kilichoandaliwa na kikundi cha akina mama cha Waridi na kupitia kwa kiongozi wao Rechael Mukuna wameisuta serikali kwa kukosa kuandaa manthari mwafaka katika masoko hasa kwa akina mama

Wanaitaka serikali kuandaa vikao mashinani mara kwa mara na wananchi kuwapa ufahamu wa sharia na mipangilio

Story by James Boaz Shitemi

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE