Naibu wa chifu kata ndogo ya Kakunga,kata ya Malava, kaunti ya Kakamega Jackston Ambulwa ameelezea maoni yake kutokana na pendekezo la waziri wa elimu George Magoha kuwa walimu wakuu wa shule za sekondari pamoja na za msingi kutowatuma wanafunzi nyumbani kwa ajili ya ukosefu wa karo

Hata hivyo ameongeza na kusema kuwa sheria zilizowekwa kudhibiti msambao wa virusi vya corona zimesababisha hali ya uchumi kudorora

By Mary Owano

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE