Lubao FM | 102.2 Hz

Charles Oduor

Fuel Crisis In Kenya Has Impacted Agriculture In Kisumu County, Nyando Sub/County

The fuel crisis in Kenya has taken a toll on small scale rice and tomato farmers especially during these short rains season since it rains irregularly. According to Mildred Achieng who is one of the farmers forced to depend on irrigation, fuel is important for pumping water to facilitate irrigation and its increase has really …

Fuel Crisis In Kenya Has Impacted Agriculture In Kisumu County, Nyando Sub/County Read More »

Communications Authority of Kenya Director General, Ezra Chiloba, has initiated the cancellation of license offers to 60 applicants for radio broadcasting licenses.

In a statement, the CA boss stated that the move was reached following the broadcasters failure to comply with the licence offer within the offer period as prescribed by the Authority in accordance with the Kenya Information and Communications Act. The cancellation of the licence offer is accompanied by a notice of revocation of the …

Communications Authority of Kenya Director General, Ezra Chiloba, has initiated the cancellation of license offers to 60 applicants for radio broadcasting licenses. Read More »

Naibu rais Kupuzilia mbali juhudi za Rais kuwaleta pamoja viongozi waliokuwa wa NASA

Naiburais William Samoei Ruto kwa mara nyingine  amepuuliza mbali juhudi zinazofanywa na rais kuwaleta  pamoja waliokuwa vyongozi wa NASA Akizungumza leo hii kwenye hafla moja ya ibaada jijini Nairobi Ruto ameitaja muungano hiyo kama ya kukabili na isiyo na ajenda kwa mkenya wa kawaida Haya yanajiri siku chache tu baada ya mkutano ulofanyika ikulu ya …

Naibu rais Kupuzilia mbali juhudi za Rais kuwaleta pamoja viongozi waliokuwa wa NASA Read More »

Hisia mseto kaunti ya Kakamega kwa tume ya IEBC kuendesha uchaguzi mkuu

Mjadala kuhusu uhalali wa tume ya IEBC kuendeshea uchaguzi mkuu ujao unazidi kuzua tofauti miongoni mwa walokuwa wanachama wa muungano wa NASA Seneta wa Kakamega Cleophas Malala ametofautiana na vigogo wa ODM wanaoshinikiza mageuzi kwenye tume hiyo  Wabunge wa chama cha ODM wakiongozwa na Opiyo Wandayi na Gladyas Wanga wa wanasisitiza kuwa Chebukati lazima ang’atuke …

Hisia mseto kaunti ya Kakamega kwa tume ya IEBC kuendesha uchaguzi mkuu Read More »

Kurudusha mkono kwa jamii eneo la Matungu kaunti ya Kakamega

Shule ya upili ya Mukhweya eneo bunge la Matungu imenufaika na ufadhili wa madarasa mawili kutoka kwa muungano wa wasomi katika wadi ya Kholera maarufu kama Kholera Professionals kwa kima cha shilingi nusu millioni Mwenyekiti wa muungano huo Emmanuel Makokha amesema ni ufadhili kutoka kwa mifuko yao kama njia ya kurudisha mkono kwa jamii Wamewahimiza …

Kurudusha mkono kwa jamii eneo la Matungu kaunti ya Kakamega Read More »

Wezi wa vyuma Lurambi kaunti ya Kakamega vyuma vyao vi motoni

Vijana  wanaojihusisha  na  wizi  wa  vyuma  kwenye  daraja  eneobunge  la  Lurambi  vyuma  vyao  vi  motoni  baada  ya  mbunge  wa  eneo  hilo  askofu  Titus  Khamala   kusema  wataanzisha  msako  mkali  kwa  ushirikiano na  idara  ya  usalama   ili  kuwatia  mbaroni   wahalifu… Kupitia  kwa  mwakilishi  wake  Daniel  Kadenge   akiwahutubia  waombolezaji  katika   hafla  ya  mazishi   maeneo  ya  Shikhambi  wadi  ya  …

Wezi wa vyuma Lurambi kaunti ya Kakamega vyuma vyao vi motoni Read More »

Wakaazi kuzingatia sheria za kudhibiti msambao wa virusi vya corona eneo la Malava

Wakaazi wa kijiji cha Bukhakunga,wadi ya Kabras Kusini,eneo bunge la Malava kaunti ya Kakamega wametakiwa kuzingatia sheria za kudhibiti msambao wa virusi vya corona  Ni kauli yake mzee wa kijiji wa sehemu hizo Stephen Muhongo Isindu akizungumza na kituo hiki baada ya mazishi ya aliyekuwa mwalimu Semeo Mugami mapema hii leo Stephen amelalamikia wizi wa …

Wakaazi kuzingatia sheria za kudhibiti msambao wa virusi vya corona eneo la Malava Read More »

Ukosefu wa dawa eneo bunge la Kabuchai Kaunti ya Bungoma

Wakaazi wa eneo la Chwele eneo bunge la Kabuchai Kaunti ya Bungoma sasa wameitaka idara ya afya kwenye Kaunti hiyo kuingilia kati na kuangazia kile wanachodai ni wizi wa dawa katika hospitali ya kaunti ndogo ya Kabuchai huku wagonjwa wakizidi kutaabika kufuatia uhaba wa dawa. Baadhi ya wale tuliozungumza nao wanasema wanaagizwa kununua dawa nje …

Ukosefu wa dawa eneo bunge la Kabuchai Kaunti ya Bungoma Read More »

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE