Shule ya upili ya Mukhweya eneo bunge la Matungu imenufaika na ufadhili wa madarasa mawili kutoka kwa muungano wa wasomi katika wadi ya Kholera maarufu kama Kholera Professionals kwa kima cha shilingi nusu millioni

Mwenyekiti wa muungano huo Emmanuel Makokha amesema ni ufadhili kutoka kwa mifuko yao kama njia ya kurudisha mkono kwa jamii

Wamewahimiza wenzao kujitokeza kuungana nao kukuza jamii

Mwalimu mkuu wa shule hiyo ya Mukhweya Colleta Were amepongeza msaada huo na kuwataka viongozi kuunga mkono
ni usemi uliosisitizwa na mwenyekiti wa bodi ya shule hiyo Edwin Buluma

By Lindah Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE