Wakaazi wa kijiji cha Bukhakunga,wadi ya Kabras Kusini,eneo bunge la Malava kaunti ya Kakamega wametakiwa kuzingatia sheria za kudhibiti msambao wa virusi vya corona 

Ni kauli yake mzee wa kijiji wa sehemu hizo Stephen Muhongo Isindu akizungumza na kituo hiki baada ya mazishi ya aliyekuwa mwalimu Semeo Mugami mapema hii leo

Stephen amelalamikia wizi wa mahindi na miwa katika kijiji hicho na kuwatahadharisha wakaazi wake dhidi ya kutojihusisha na wizi

Amewataka wazazi pia kuhakikisha wanao wanaenda shule bila kuketi nyumbani akisema mzazi atakayekosa kumpeleka mwanawe shuleni atakabiliwa na mkono wa sheria 

By Sajida Javan

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE