Kuzinduliwa kwa kiwanda cha samaki kaunti ya Kakamega kunanuiya kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana kaunti hiyo

Msemaji wa seeikali ya kaunti ya Kakamega kuhusu uongozi Ali Chibole amesema kuwa mamia ya vijana watapata nafasi za ajira

Amesema kuwa hii ni mojawapo ya inaonyesha kujitokeza kwa kaunti ya Kakamega kuekeza kwenye sekta ya kilimo

Chibole hata hivyo amekiri kudorora kwa viwango vya masomo haswa kwa shule za upili kaunti hio akiitaja uhamisho wa walimu kama mojawapo wa visababishi 

Haya yanajiri huku shule maarufu kaunti hii zikiwemo ya Kakamega, St Marys Girls, Lubinu, Ingotse na hata ya wavulana ya Musingu zikikosa kutamba kwenye matokeo ya mtihani ilopita ikilinganishea na za kaunti jirani

Hata hivyo ametia changamoto kwa wakaazi dhidi ya kumchagua gavana atakayeridhi Oparanya baada ya kuramatika kwa kipindi chake akiwataka kumteuea kiongozi mwenye Ataajibikia sawia na Oparanya

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE