Hali  ya  uzini  ingali  imetanda  katika  kijiji  cha  Mang’ang’a  wadi  ya  Isukha  Kaskazini   eneobunge  la  Shinyalu  kaunti  ya  Kakamega   baada  ya  mwili   wa  mwanaume  mmoja    Peter  Mbalilwa  aliyetoweka  siku  ya    jumapili  katika  njia  ya  kutatanisha  kupatiikana  kupatikana  ndani  ya  miwa  akiwa  amefariki.

kwa  mjibu  wa Adanasi   Mwisai  na  Judithi  Musanga  wazazi  wa  mwendazake   ni  kwamba  mwendazake   aliondoka  nyumbani    siku  ya  jumapili  baada  ya  kutoka  kanisani   huku  juhudi  za  kumpata alikokwenda  zikigonga  mwamba  na baadaye    mwili  wake  kupatikani    ndani ya  miwa  ya  jirani  

kisa  hicho  kimedhibitishwa na  mwenyekiti  wa  nyumba  kumi  Charlse  Shihoya  huku  mwili  wa  mwendazake  ukihifadhiwa  katika    hifadhi  ya  wavu ya  hospitali  ya  rufaa  ya  Kakamega  ukisubiria  kufanyiwa  upasuaji  hili  kubaini  chanzo  cha  mauti  hayo.

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE