Kampeni dhidi ya mimba za mapema miongoni mwa watoto wa kike ziliendelezwa kwenye mitaa ya mji wa kakamega kaunti ya kakamega huku onyo kali ikitolewa kwa wahusika 

Maafisa wa polisi wanasheria pamoja na wadahu kutoka mashirika mbalimbali ya kijamii wamehimiza wazazi kumakinika na malezi ya watoto wao kama njia mojawapo ya kukabili visa hivyo

Aidha wameilaumu sekta ya bodaboda kwa kuchangia uovu huo wakiapa kuchukua hatua zinazofaa kumlinda mtoto wa kike 

Wamevitaka vitengo vya sheria kuhakikisha kuwa sheria inafwatwa wanaposhugulikia visa hivyo

By Imelda Lihavi

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE