Hatua ya bunge kukosa kuidhinisha sheria ya kudhibiti fedha zitakazotumika kwenye kampeni ni njia mojawapo ya kupalilia uovu huo
Kwenye taarifa ya pamoja mashirika mbalimbali ya kijamii yakiwemo Elog, Mzalendo na Center for Multiparty Democracy yamekashifu hulka hiyo ya wabunge yakiitaja kama inayoruhusu wizi wa pesa mkenya mlipaushuru
Mashirika hayo yamesema kuwa wabunge hawana nia njema kwenye vita dhidi ya ufisadi
By James Nadwa