Hulka ya  kubagua kazi imekuwa chanzo Cha ukosefu wa kazi miongoni mwa vijana Kanda ya magharibi

Hii ni kauli yake mwanasiasa kutoka wadi ya MARAMA North eneobunge la BUTERE Charles Etemesi 

Akizungumza na kituo hiki Etemesi amewataka vijana kutobagua kazi kama njia pekee ya kupigana na tatizo hilo la ukosefu wa ajira eneo hilo

Etemesi aidha ametilia shaka juhudi za  MCA wa sasa katika kuboresha viwango vya masomo ambavyo anadai vimedorora pakubwa 

Kiongozi huyo ameonekana kushabikia mdahalo wa kuwataka wanasiasa vyongozi kuwa na degree akisema kuwa hili litaimarisha uongozi mashinani

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE