Kwenye kikao na wanahabari ofisini mwake Askofu wa kanisa hilo Joseph Wandera amesema kuwa kama kanisa  hawakubaliani kwa vyovyote vile na ghasia haswa za Matungu na kuwataka vyongozi kuwajibika

Wandera aidha ametaka adhabu kali kutolewa kwa wahusika kama njia mojawapo ya kudhibiti vitendo hivyo

Kwa upande wake msemaji wa wahubiri eneo la Matungu Patrick Obonyo ameelekezea kidole Cha lawama polisi akiwataka kama walofanikisha vitendo hivyo

Haya yanajiri huku waziri Matiangi akitoa onto kwa wanasiasa wenye hulka ya kuzua ghasia wakati wa uchaguzi kwamba chuma Chao ki motoni

Hata hivyo alilalama namna mahakama inavyoshugulukia kesi hizo na kuwaachilia wahusika kwa Bondi akihoji kuwa hili linachochea vitendo hivyo

Story by James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE