Shirikishi wa chama cha KANU kaunti ya Kakamega Sleiman Sumba amewarai vyongozi kuhubiri amani miezi kadhaa kabla ya uchaguzi mkuu ujao

Sumba amesema kuwa yafaa vyongozi haswa wanasiasa kutumia semi za kuleta amani miongoni mwa wakenya

Amesifia hatua ambazo chama cha KANU kimepiga akionyesha imani na chama hicho kutwaa uongozi wa nchi hii baada ya uchaguzi mwakani

Kiongozi huyo amewataka wakaazi wakenya kujitokeza na kupokea chanjo dhidi ya virusi vya corona ili kudhibiti msambao wa ugonjwa huo

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE