Kamanda wa polisi kaunti ya Homabay Esther Seronei amewataka waanga wa dhulma za kijinsia kuripoti visa hivyo kwa polisi ili hatua za dharura zichukuliwe

Seronei amehoji kuwa baadhi ya watoto wakiwamo wavulana na wasichana wanadhulumiwa ila visa hivyo huishia nyumbani tu huku waathiriwa wakikosa kupata haki

Naibu kamishana wa kaunti ndogo ya Awendo Mary Wamalwa kwa upande wake ameridhia idadi ya watoto wanazidi kujiunga na kidato cha kwanza kaunti hiyo akiwataka wazazi kuwaruhusu hata waliojifungua kurejea shuleni

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE