Serikali ya kitaifa ikishirikiana na ya kaunti imetakiwa kuhakikisha kuwa shilingi bilioni 3 zilizotolewa na rais Uhuru Kenyatta kusaidia wakulima nchini zimewafikia wakulima kaunti ya Bungoma

Mwanasiasa kutoka kaunti ya Bungoma Emmanuel Masuud amesema kuwa mwaka mmoja tangu kutolewa kwa pesa hizo hakuna mkulima hata mmoja kaunti hiyo aliyenufaika na pesa hizo huku wengi wao wakipitia wakati mgumu haswa msimu wa mavuno

Masuud ameitaka serikali kupiga jeki kilimo cha kahawa eneo hilo ili kuwawezesha wakulima kujiinua kimaisha

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE