Kiongozi wa ODM Raila Odinga  amewataka vyongozi kuwaunganisha wakenya bila kujali misingi yao ya kisiasa

Akiongea leo katika kanisa la PAG mtaa wa Lang’ata jijini Nairobi Raila amesema kuwa ni wakati wa kila kiongozi kuhubiri amani

Amepuuzilia mbali madai ya baadhi ya vyongozi wanaotilia shaka imani yake 

Amesema kuwa serikali imejitolea kuhakikisha kuwa wakenya wote wanufaika na matibabu ya bei nafuu kupitia hazina ya matibabu nchini NHIF

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE