Kinamama wajane kutoka eneobunge la Mumias Mashariki wanalalamikia
kutengwa na vyiongozi wa eneo hilo


Kinamama hao Sasa wanasema kuwa hali ngumu ya maisha imewapa changamoto
wakitaka vyongozi  kuingilia kati

Aidha wamelalamikia kulemewa na mzigo wa Karo wakati huu wanafunzi
wanaporejelea masomo baada ya msimu wa Corona

Haya yanajiri huku idadi ya juu ya kinamama wajane ikihofiwa kuongezeka
eneo hilo huku 3 Kati ya familia 5 zikiwa za wajane

Duru za kuaminika zadokeza kuwa kinamama hao hawanufaiki kwa vyovyote
na msaada kutoka kaunti ya Kakamega na hata serikali kuu juhudi zetu
kuzungumza na maafisa husika zikigonga mwamba

Story by James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE