Wasimamizi wa mitaa na vijiji wilayani Mumias Mashariki wanaitaka serikali kutoa msaada wa vyakula kwa wakaazi wakati huu mgumu wa gonjwa la Corona

Wakiongozwa na Ongweko Manya msimamizi wa mtaa wa Chibulu lokesheni ya Khaunga wasimamizi hao wanasikitikia matatizo wanayopitia wakaazi kunapozidi kushuhudiwa makali ya ugonjwa huo

Ongweko ameonyesha kutoridhika na jinsi walovyotengwa kwenye mchakato mzima wa kudhibiti msambao wa virusi hivyo

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE