Wataalam wa dawa za kiasili Sasa wanataka kujumuishwa kwenye vita dhidi ya ugonjwa wa Corona

Wakizungumza na idhaa hii kupitia kwa mwenyekiti wa muungano huo wilayani Navakholo George Kanoti Simiyu wataalam hao wanaisuta serikali kwa kuwapuuza Jambo linalofanya ugonjwa huo kuenea hata zaidi

Matabibu hao wamehoji kuwa dawa asilia zina nguvu za kupunguza makali na hata kuponya ugonjwa huo 

Wataalam hao wanaitaka serikali kuwahusisha kwenye vita hivyo bila masharti yeyote

Haya yanajiri huku wimbi la tatu la maambukizi likishuhudiwa Jambo lililomfanya rais kutoa masharti mapya ya kudhibiti msambao wa virusi hivyo ikiwemo kufungwa kwa kaunti kahdaa zikiwa ni pamoja na Nairobi, Kajiado, Nakuru na Embu

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE