Lubao FM | 102.2 Hz

Lubao Digital

Ethiopia to Device a Platform to Rival Facebook, WhatsApp and Twitter.

With the developments we are witnessing in the tech world, nations are also advancing in a move to localize the content among their citizens. Ethiopia’s IT gurus are down to work devicing a social media platform that will rival the known, Facebook, WhatsApp and twitter. In a statement from Information Network Security Agency (INSA) Shumete …

Ethiopia to Device a Platform to Rival Facebook, WhatsApp and Twitter. Read More »

Over 1000 Youth to Benefit from Fish Pond Project

In a move to empower the youth in Busia county, 1000 youths will directly benefit from a Sh60 million Kamarinyang’ fish-ponds project sponsored by the World Bank. The project, a joint venture between the Busia County government and the World Bank through Kenya Climate Smart Agriculture Programme (KCSAP), is aimed at cushioning the youths from …

Over 1000 Youth to Benefit from Fish Pond Project Read More »

Resident Complain over increased cases of insecurity and Laxity from the Security Personnel

Insecurity has become a major threat to livelihood in Lubao market that lies in two bordering sub-counties of Shinyalu and Malava. Being a cosmopolitan market due to its inhabitation of prison warders manning Shikusa Prison and employees of different sectors in kakamega town, the residents present a public outcry on increased cases of theft and …

Resident Complain over increased cases of insecurity and Laxity from the Security Personnel Read More »

Four Dead Several Injured In A Grisly Road Accident

Four people died and several others injured in an accident that occurred at the Nzoia Bridge along the Eldoret Bungoma Highway. The Saturday morning incident involved four vehicles including a truck, private car, a double cabin pick up and a lorry ferrying ballast which ran into each other and the occupant of the vehicles were …

Four Dead Several Injured In A Grisly Road Accident Read More »

Ukosefu wa maji sokoni Makunga kaunti ya Kakamega

Wafanyibiashara sokoni Makunga eneobunge la Mumias Mashariki wanalalamikia ukosefu wa maji sokoni humo Wafanyibiashara hao sasa wanahofia mkurupuko wa Magonjwa kutokana na tatizo hilo Vilevile amesikitikia mazingira duni wanamoendeshea biashara zao huku taka zikijaa kote sokoni Wafanyibiashara hao aidha hutatizika haswa masaa ya jioni baada ya taa ilowekwa pale na serikali ya kaunti ya Kakamega …

Ukosefu wa maji sokoni Makunga kaunti ya Kakamega Read More »

Vijana waonywa dhidi ya kutumia dawa za kulevya

Serikali ya kaunti imeombwa kusaidia  chama cha Matioli Welfare Group katika kujiendeleza na kufanikisha miradi yao. Akizungumza katika mkutano uliowajumulisha wanachama wote wa Matioli Welfare Group katika wadi ya Chegulo kata ya Matioli kaunti ndogo ya Malava kaunti ya Kakamega,mwenye kiti wa chama hiki Daniel Mulambula ameelezea baadhi ya miradi ambayo wameanzisha naimekuwa ya kufana  …

Vijana waonywa dhidi ya kutumia dawa za kulevya Read More »

Mashirika ya kijamii kukashifu hatua ya Bunge kukosa kuidhinisha sheria ya kudhibiti fedha za kampeni

Hatua ya bunge kukosa kuidhinisha sheria ya kudhibiti fedha zitakazotumika kwenye kampeni ni njia mojawapo ya kupalilia uovu huo Kwenye taarifa ya pamoja mashirika mbalimbali ya kijamii yakiwemo Elog, Mzalendo na Center for Multiparty Democracy yamekashifu hulka hiyo ya wabunge yakiitaja kama inayoruhusu wizi wa pesa mkenya mlipaushuru Mashirika hayo yamesema kuwa wabunge hawana nia …

Mashirika ya kijamii kukashifu hatua ya Bunge kukosa kuidhinisha sheria ya kudhibiti fedha za kampeni Read More »

Kampeni dhidi ya ya mimba za mapema kuendelezwa katika mji wa Kakamega

Kampeni dhidi ya mimba za mapema miongoni mwa watoto wa kike ziliendelezwa kwenye mitaa ya mji wa kakamega kaunti ya kakamega huku onyo kali ikitolewa kwa wahusika  Maafisa wa polisi wanasheria pamoja na wadahu kutoka mashirika mbalimbali ya kijamii wamehimiza wazazi kumakinika na malezi ya watoto wao kama njia mojawapo ya kukabili visa hivyo Aidha …

Kampeni dhidi ya ya mimba za mapema kuendelezwa katika mji wa Kakamega Read More »

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE