Serikali ya kaunti ya Kakamega kwa ushirikiano na mashirika ya ufadhili imetoa vifaa kwa wakulima kuendeleza ufughaji wa samaki kama njia ya kutosheleza lishe

Akiongea baada ya kupokea vifaa hivyo mshirikishi wa mradi huo Noman Munala amesema vifaa hivyo vitakabidhiwa wakulima siku ya Alhamisi kaunti inapoadhimisha siku ya Samaki eneo la Eshisiru Lurambi akisema ni njia ya kuendelea kuwahimiza wakulima kukumbatia kilimo cha samaki

Munala amewataka wakulima kujitokeza kupata mafunzo na kuweza kukumbatia kilimo cha samaki ambacho kwa sasa kinapata ufadhili unaostahili kutoka kwa serikali na mashirika ya wafadhili

By Linda Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE