Shirika la PIMAC likiongozwa na Pius Maasai Mwachi mkurugenzi mkuu anayesimia malipuko ya majanga KV Moto, ajali na mengine kama haya kwa lugha ya kimombo Disaster Emergency wametumia siku ya Madaraka kutoa mafunzo  kwa wenyeji wa Eshisiru eneo bunge la Lurambi kaunti ya Kakamega ya jinzi ya kukabiliana na haya majanga.

  Mwachi amesema kuwa kutakua na uchaguzi wa viongozi ambao watahakikisha kwamba wametembelea vijiji mbalimbali kwa huo mradi wakiongozwa na wanaosimamia wadi mbalimbali nakupanga mipango kabambe ya kuwasaidia wakenya kiujumla

 Amesema kuwa ajali za moto na za barabara zimekua mingi kwa hivyo kutakuwepo na Patron atakaye saidia vilabu viwe na nguvu akishirikiana na viongozi wengine

Hatahivyo  Samwel Oketch chifu anayewakilisha wadi ya  Butsotso Kusini  pamoja na OCPP wa Eshisiru Abdul Hassan wameunga mkono shirika hili na kutembea kwa pamoja ili kuakikisha kuwa wananchi wanasaidika. Samwel alisema kuwa wataendelea kutembea ili waweze kuongea na wananchi na kuwapa mafunzo

By Lindah Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE