Vyongozi wa dini ya kiislamu Kanda ya Mumias Mashariki wamekuwa wa hivi punde kupinga uteuzi wa Martha Koome kama jaji mkuu jinsi ilivyopendekeza kamati ya kisheria nchini

Wakiongozwa na lmmam wa msikiti wa Jamia wa Makunga wilayani Mumias Mashariki vyongozi hao wanasema kuwa uteuzi huo haukuzingatia usawa wa kijinsia na hata kimaeneo

Wametaka nyadhifa muhimu kwenye idara mabimbali serikalini kuangazia maeneo yote ya nchi

Kuhusu swala la BBi Kiongozi huyo ametaka pawepo na naelewano kutoka pande zote kwenye swala nzima la katiba

Lubale amewatahadharisha vyongozi dhidi ya kuwalazimishia Wakenya katiba ambayo huwenda ukawa mzigo siku zijazo

Immam huyo amechukua fursa hiyo kuwatakia waislamu mfungo wenye heri akiwataka kudumisha umoja

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE