Washkadahu kwenye sekta ya miwa nhini wanazisuta kampuni za kibinafsi kwa kushirikiana na matapeli kuwanyanyasa wakulima

Wakiongozwa na Mwanaharakati wa maendeleo eneobunge la Navakholo Dan Mustotso Mmayi vyongozi hao wanadai kuwa hili limefanya wakulima kupoteza Imani na kampuni hizo

Mwanachama huyo kwenye kamati ya shirika linaloangazia ufufuzi wa sekta ya miwa eneo hili Kakamega sugarcane Growers Cooperative amesema kuwa kama vyongozi watafanya wawezalo kukomesha dhulma hizo na kurejesha hadhi ya miwa kwa mkulima

Mmayi amekanusha kuwa ukosefu wa malihgafi(raw materials) ndicho chanzo cha kuanguka kwa baadhi ya viwanda vya sukari nchini

Kiongozi huyo hata hivyo amepongeza hatua ya rais kufungua baadhi ya maeneo nchini yalokuwa yamefungwa kwenye vita dhidi ya msambao wa virusi vya Corona

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE