Wafanyi biashara reja reja Katika soko la Lubao Kaunti ya Kakamega wanalalamikia hali ngumu ya maisha kwa kukosa wateja wa kununua bidhaa zao 

Katika mahojiano ya moja kwa moja na kituo hiki Benson Anadokeza kuwa tangia Asubui hakuna mteja yoyote ambaye amemjia kwa minajili ya kununua bidhaa anayouza 

Vile vile ametao wito kwa serkali Kuingilia Kati na kushusha bei ya mafuta ambayo inapanda kila uchao ili kuimarisha sekta ya Usafiri humu nchini

By Samson Nyongesa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE