Chama cha walimu wa shule za sekondari na vyuo  nchini Kenya KUPPET kimeikosa wizara ya michezo kwa kushindwa kufanaya uhamasishaji wa wadau kabla ya utekelezaji wa mtaala mpya wa elimu wa CBC.

Akizungumza hivi leo KUPPET Akelo Misori amesema  hakuna kampeini ya kupinga mtaala huo,ila  wizara ya elimu  na tume ya kuwaajiri walimu TSC , haijawahamasisha  wadau  kikamilifu .

Mtaala mpya wa elimu  wa CBC ulioanza kutekelezwa miaka minne iliyopita ,  unaopendekeza  wanafunzi  kusoma shule ya msingi kwa miaka  miwili katika shule ya chekechea ,miaka 6 katika shule ya msingi  ,miaka mitatu katika shule ya sekondari na miaka mitatu katika chuo kikuu( 2-6-3-3) .

 By Wycliffe Andabwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE