Kongamano la makanisa ya pentecosti nchini likiongozwa na rais wake ambaye ni Stanley Michuki limeshtumu mapigano hayo

Michuki ameonyesha kutamaushswa na hali ilivyo eneo hilo ikizingatiwa kuwa Kenya ni taifa ambalo limeshuhudia changamoto  zikiwemo njaa, gonjwa la corona na hata machafuko  baada ya Uchaguzi kadhaa  Uliyopita

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE