Happy Internation Literacy Day 2021. “Literacy is a bridge from misery to hope." - Kofi Annan

Viongozi wa kidini wamehimizwa kushirikiana na mashirika ya kijamii kuwahamasisha wakazi umhimu wa kushirikiana kuendeleza maswala ya elimu kama njia ya kuinua jamii

Akiongea kwenye harambee ya kumsaidia mwanafunzi eneo la Elukho Butsotso Mashariki mchungaji Francis Juma wa kanisa la Shikangania PAG amesema inasikitisha watu kuweka uzito kwa michango ya marehemu kuliko uhai


mwanafunzi Celestine Atira ambaye amekawia kufuzu katika chuo kikuu cha Masinde Muliro tangu mwaka 2019 ameelezea furaha yake

By Lindah Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE