Baadhi ya vyongozi wa Chama Cha ODM Kanda ya Mumias Mashariki sasa wanatishia kupinga BBI iwapo bei ya mafuta itasalia jinsi ilivyo

Wakiongozwa na mwakilishi wadi wa East Wanga Zaid Oten’go Shabaan vyongozi hao wameonyesha kutoridhishwa na namna serikali inavyoshugulikia swala Hilo

Oten’go amehoji kuwa BBI inaashiria mzigo kwa mkenya wa kawaida

Alikuwa Akizungumza haya shuleni Mung’ang’a kwenye msururu wa ziara zake katika shule zote za Wadi ya East Wanga alipotoa chakula na vifaa vingine  kwa watainiwa wanaotarajiwa kuanza mtiani wao leo hii

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE